• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara Kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Manyoni District Council
Manyoni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • History
        • Orodha Viongozi
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
      • Mchoro wa Kiutawala
      • Picha Ya Taasisi
    • Idara/Vitengo
      • Utawala & Utumishi
        • Majukumu ya Idara
        • Legal Seatings on Council's level
        • Department Information
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utawala wa Mazingira na Usafi
      • Ujenzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio Vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
      • Huduma Zetu
        • Afya
        • Elimu
        • Maji
        • Kilimo
        • Mifugo
        • Uvuvi
    • Kilimo cha Korosho
    • Msimu wa mashamba ya Korosho 2019/2020
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha Ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba Ya Picha
    • Matokeo ya Kidato cha Pili 2018

Bodi ya korosho yakabidhi pikipiki kuboresha usimamizi wa mradi wa korosho Manyoni

Imewekwa Mtandaoni mnamo: July 20th, 2019

Kaimu mkurugenzi wa Bodi ya Korosho Tanzania Dr. Francis Alfred leo Julai 20, 2019 amekabidhi pikipiki 4 katika halmashauri ya Wilaya ya Manyoni kwa ajili ya kuwawezesha maafisa ugani waliopo Halmashauri ya Manyoni kutembelea miradi mbalimbali ya Korosho ukiwemo mradi mkubwa wa shamba la Korosho la Mkwese – Masigati lenye ukubwa wa Takribani ekari 12000.

Akizungumza wakati wa kukabidhi pikipiki hizo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni, Mkurugenzi wa bodi ya Korosho Tanzania alisema, kazi kubwa ya Bodi ni Kusimamia, Kuhamasisha na Kuwezesha ukuaji wa zao la Korosho. Hivyo wao kama Bodi ya korosho kupitia Wizara ya kilimo wameamua kuleta Pikipiki 4 kati ya 10 ambazo wamepanga kuzileta Manyoni kwa ajili ya Usimamizi wa uzalishaji wa zao la korosho. Vilevile ameushukuru Uongozi wa mkoa na Wilaya kuanzia kwa Mkuu wa mkoa wa Singida Mh Dr. Rehema nchimbi na Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh. Rahabu Solomon kwa juhudi zao za kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika kilimo.

Akizungumza katika kutoa Shukrani baada ya kuzipokea, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Ndugu Charlles Fussi aliishukuru Wizara ya Kilimo kupitia bodi ya korosho kwa kuwapa pikipiki hizo na kuahidi kuzitumia katika kukuza na kuimarisha uzalishaji wa zao la korosho katika Mradi na kwa wakulima waliolima nje ya mradi, lengo ni kuhakikisha halmashauri nzima inasimamiwa vyema na maafisa ugani ili kukuza uzalishaji wa zao la korosho ambalo litapelekea wananchi kuwa na zao la kudumu la Biashara hivyo kuwapunguzia adha ya kuuza mazao ya chakula.

Nae Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mh. Daniel Mtuka aliishukuru Wizara ya Kilimo kwa uamuzi walioufanya wa kufungua Ofisi ya Bodi ya Korosho kanda yaka kati katika Mji wa Manyoni ambapo imewapa hamasa wakulima kuendelea kuthamini zao la korosho na hivyo wengi wanaanza kuamka na kushiriki katika kilimo cha korosho kuanzia Majumbani kwao.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2020 January 15, 2021
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa kidato cha pili (FTNA) 2020 January 15, 2021
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la nne (SFNA) 2020 MANYONI January 15, 2021
  • JINSI YA KUPATA SHAMBA LA KOROSHO MSIMU WA 2019/2020 May 13, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Waziri Lukuvi apiga marufuku viongozi wa Vijiji na Vitongoji kuuza ardhi

    January 11, 2021
  • TRC NA MIKAKATI YA UREJESHO WA HALI ZA MAISHA KATIKA MRADI WA SGR MANYONI

    December 23, 2020
  • Baraza lahimizwa kuweka kipaumbele katika Viwanda na uzalishaji wa Malighafi

    December 18, 2020
  • Naibu waziri wa kartiba na Sheria Mh. Geofrey Mizengo Pinda atembelea Manyoni.

    December 14, 2020
  • Angalia zote

Video

Ngoma za asili Siku ya UKIMWI Duniani
video zingine

Kurasa za Karibu

  • About Manyoni
  • Completed Projects
  • Ongoing Projects
  • Primary Schools Students Registration (Prem)
  • Instagram

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • President's Office, Public Service Management
  • Singida Region
  • Necta
  • Kupata Salary Slip

Fuatiliaji ya watembezi wa Kidunia

world map hits counter

Kihesabia Watembezi

writingMasterThesis

Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni

    Sanduku la Posta: S.L.P 60, Manyoni

    Simu: +255 26 2540136

    Namba ya Simu: +255 712 028027

    Barua Pepe za Watumishi: ded.manyonidc@singida.go.tz, ded@manyonidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera za Siri
    • Malalamiko
    • Maswali ya Mara Kwa Mara
    • Ramani
    • Huduma

Haki Ya Kunakiri ©2019 Halmashauri Ya Wilaya Ya Manyoni . Haki Zote Zimehifadhiwa.